Unaambiwa Hakuna Madhara Kisayansi Kujamiiana na Mwanamke Akiwa Hedhi

 


Kisayansi hakuna madhara kujamiiana na mwanamke akiwa kwenye hedhi kwani kufika kileleni hupunguza maumivu na idadi ya siku za hedhi. Hii ni kwa sababu wakati mwanamke anapofika kileleni misuli ya nyumba ya uzazi hujikunja na hivyo tando laini (hedhi) hujinyofoa na kutiririka.

  • TAZAMA VIDEO HII KISHA SUBSCRIBE YOUTUBE WADAU SAPORT YENU MUHIMU SANA ASANTENI

Kwa wale wanawake wenye tatizo la kipanda uso (migraine) kinachojitokeza zaidi wakiwa kwenye hedhi hupata ahueni wakifanya tendo hilo kipindi hicho.

Pamoja na kushiriki tendo hilo kuna faida hizo lakini kunaongeza hatari ya maambukizi kirahisi ikiwamo VVU, virusi vya homa ya ini na magonjwa yanayoenea kwa kujamiiana na kugusana na damu

Comments