Wanawake Kuweni Wabunifu Kitandani Hata Denda Mnataka Tuwafundishe


Leo nataka kutoa dozi matata kwa wanawake wenzengu sio kila kitu utafundishwa katika mapenzi has a unapokuwa kwenye ile kona ya sita kwa sita.

  • TAZAMA VIDEO HII KISHA SUBSCRIBE YOUTUBE WAKUBWA TU


Jambo la msingi ni kutakiwa kuwa mbunifu. Wanaune wanapenda mwanamke uwe mtundu hasa linapofika suala la kupeana penzi.

Acha kujilaza kishamba kishamba mfanyie mumeo mitego ya maana hata mitego jamani unataka nikufundishe ina maana hata kufunga kikanga chepese unasubiri nikuambie.

Badilika dada unalalaje na manguo mazito kama magunia wanaume wanataka mitego ya maana upo nyonyo?



Wengine wanasema eti ukionyesha utundu utaonekana malaya ha ha ha nani kakuambia ukiwa mtundu kitandani ni umalaya?  Hayo mambo yamepitwa na wakati.

Nataka nikuambie wanaume zenu wanafuata michepuko baada ya kuona ndani hamjishughulishi na wengine wakishaona ndoa tayari wameipata ndio wanajibweteka kabisa.



Kilichokufanya uingie kwa ndoa ni kazi moja mpe mumeo dozi mchanganyie staili tofauti utamfanya apagawe hata mchepuko hawezi kuitafuta.

Tatizo lenu wanawake wenzangu mkishaanza kuisha na mwanaume mnafanya mazoea. Mwanaune hazoeleki ndugu yangu usipompa dozi yake inavyotakiwa kukusahau ni dakika mbili.

Jamani kuna wanawake ni wavivu tu hata kufuta mboo unasuburi nikufundishe, mwingine hata denda mpaka aambiwe. Haya hata kuwapapasa wanaume zenu mnataka tuwaambie? Ina maana hujui wajibu wako unapokuwa faragha?

Hivi hata denda unataka nikufundishe jinsi linavyoliwa ha ha ha wanawake wenzangu badilikeni la sivyo mtapigwa matukio ya michepuko mpaka akili ikukae sawa.

Ifike wakati mbadilike wanaume wanapenda mautundu chumbani hayo mengine ni mbwebwe tu.

Hivyo jitafakari na kuchukua hatua sio kila jambo utafundishwa vingine kuwa mbunifu mwenyewe.

Hivi kuna aliyefundishwa kufanya mapenzi yaani ukaambiwa ule mchezo ukifika muanze kupetiana alafu nyege zikipanda ujilaze kitandani alafu mwanaume anaingiza uume ha ha ha ha kila mtu awe mbunifu anapokuwa faragha.



Dawa ya kuwadhibiti michepuko ipo tena ya kutumia vitendo unapokuwa na mpenzi wako faragha wala hauna muda wa kupambana naye kwenye simu ana kurushiana maneno.

Hapo ni kutoa dozi zako tatu kwa staili tofauti mwanaume akikaa akili yake ipo kwako yaani unampa uchizi unapokuwa naye faragha. Usikubali kuwa mzigo unapokuwa kitandani.

Mie mwenzako natoa dozi zangu ninapokuwa katika hiyo sekta sikubali kubaki nyuma yaani mpaka kuna wakati anatamani kutoroka kazini.

Sasa huyo mwanaume wangu hata akisema aende kwa michepuko hawezi cha kufanya shoo zote nimezikamilisha nimemuacha mweupe.

Comments