TIA YOTE 4$5




MTUNZI  0768066982

Ni hatari kwa afya kwani UKIMWI NA UNAUA.

Nikiwa ndani kwa mama imma baada ya kutoka kuoga na khanga kumdondoka mbele yangu..

"haaaah"alihamaki kiasi kwamba hata kuiokota alishindwa hapo na mimi dushelele lishaamka,sikuwa na aibu tena mbele yake nilichofanya ni kusogea hadi pale alipo na kuiokota ile khanga huku kaziba kaziba mdomo kwa kuhamaki, nilimsogelea karibu ya kumkumbatia hapo ile khanga nikaiweka kando na kumshika kiuno chake kama nyigu kilichopendeza kwa shanga alizo vaa za kila rangi kwa idadi kamili zinafika ishirini na ushee.

"bwanaa gao niachie bwanaa achaa mwenzio zitapanda utashindwa niridhisha"alilalamika mama imma wakati nikipapasa kiuno chake kiteke,hapo akijua sitampa huduma akaridhika.

"tulia mama imma nikufanyie massage ya mwili"nilimwambia.nikaanza kupandisha mikono yangu juu kukutana na chuchu alizotutumua kama hazijanyonywa na imma nilizipapasa huku akitoa miguno iliyozidi kunisisimua mwili hata dushelele tayari lilianza kupiga push up ndani ya boksa,nilimsogeza hadi kwenye kochi huku akiwa mtupu vile vile nilijua fika ni bahati ya mtende kuota jangwani nikiwa na nia ya kumaliza ugwadu nilionao, baada ya kukosa tompoo ya madam.

"gao please nakukabidhi mwili wangu lakini mtu yoyote asijue tafadhali baba imma ataniua mwenzio."aliongea kwa tabu hapo mimi niliitika kwa kichwa kana kwamba mdomo ninao.
Nilianza kumuandaa kwa kumuandaa hapo nikiramba masikio yake ilikumburudisha zaidi huku yeye akishikashika dushelele langu ambalo alilitoa nje ya boksa tayali.
niliramba kiustadi wa hali ya juu huku akilalamika na kutoa miguno.
Nilipo rizika na masikio nikahamia kinywani na kuanza kucheza na ulimi wake.
huku mkono mmoja wa kushoto ukiwa katika tompoo yake iliyotuna na hamu alizonazo hapo nikagundua hajasuguliwa muda mrefu tena baada ya baba imma kwenda jeshini.
Kwa akili za haraka hata ule msemo usemao "MKE WA MTU SUMU" niliuona wa kipuuzi kabisa huku nikijisemea kizuri kula na nduguyo ikiwa hata huyo jamaa mwanajeshi sio ndugu yangu ni mpangaji tu.
Niliporidhika na lita kadhaa za mate hapo nikaanza kuzifakamia dodo zake kifuani zilizotutumuka.

"ooooh gao shit aaah tenaa ooh"alilalamika hapo mimi napata bichwa linakuwa kubwa.
Kitendo alichokosea ni kunikabizi mwili tu huku akitulia yeye kama gogo akiangalia ninachofanya na mimi nilipanga kumkomoa ni tie yote.

Dakika tano zilitosha kabisa kuyavutavuta maziwa yake niliamua kuhamia chini ya kitomvu katikati ya mapaja na kitomvu yani ikulu.
Nilipima mafuta kama yamejaa kwa kukitumbukiza kidole cha kati alimaarufu dole la matusi kama ule wimbo wa watoto wanao imba kwamba
kidole cha kwanza yani dole gumba ni kidole poa na kidole cha pili ni kidole wewe cha tatu sasa dole matusi, nakumbuka kipindi kile cha utoto, sikujua kazi ya dole matusi niliishia kuimba tu ule wimbo na kufurahi tu na watoto wenzangu ukubwa huu ndio kazi yake naiona sasa.
nilipima oil kwa mama imma alieturia akisubiri dushelele lizame chumvini,niligundua bado hakujatepeta hapo nikatumia akili ya ziada kuitafuta g spot iliyopo inchi mbili tokea nje,nilitumbukiza dole lilelile la matusi hapo ndipo nikakutana nayo sehemu laini nilianza kufanya kama nakwangua kitu.

"ooooh gaoo shit please oooh hapo hapoo "alilalamika mama imma huku nikiwa nazidi kumkuna g spot yake, sikutaka kuinyonya tompoo yake kutokana na kuhofia kupoteza radha ya chips nilizokula pia nilitaka kumsugua haraka ili niondoke.
Baada ya kuikuna ipasavyo g spot yake na kupima oil ipo full tayari tompoo imetepeta ndipo nilipo lichukua dushelele na kutumbukiza iliyozama kiulaini bila kikwazo chochote.

"ooooooooh oopss aaaaah gaoo una naliu kubwa yani naisikia hadi tumboni"alisema mama imma tena.
Hapo ndio nikaanza ile i giza toa nikimpampu kwa ustadii. nikiwa hata sijafika mshindo bado.

"gaooo gaoo"ni sauti ya mama ilioniita tena akiwa mlangoni kabisa kwa mama imma.

"Ooh mama huyo aah"nilijitoa juu ya mama imma haraka na kuruka kando.

"aaah mama nae bhanaa "nilijisemea huku nikivaa nguo na mihamu yangu mana hata kileleni sijafika.

"gao usiende jamani please nipe kidogo mwenzio nipe jamani "alilalamika mama imma hapo sikumsikiza nikamsogelea na kukipeleka kidole matusi kwenye tompoo yeke.

"mmh "aliguna tu, hapo nikatoka nje na mahasira.

"mwanangu mbona nilikuwa nakuita hujaitika, ulikuwa unafanya nini.?"alinitandika swali mama nikaona kama ananichanganya tu mana kashanikosesha mama imma aliekuwa tayari nisha mlegeza.

"mama nilikuwa naangalia runinga sasa sauti ilikuwa kubwa sijasikia kafanya kunistua mama imma."nilidanganya kwa mama.

"mmmh,inamana ile alionunua baba yako sio tv eeh."

"hapana mama."

"hapana nini.?"aling'aka mama.

"kuna cd nilikuwa naangalia kule tu"

"ohooo shauri zako mke wa mtu yule tena mumewe mwanajeshi"alisema mama kana kwamba amegundua michezo niliyokuwa nikifanya na mama imma.

"teh teh mama mbona wasema hivyo"nilijichekea mwenyewe.

"unacheka nini wewe unazania ni mazuri hayo kukaa ndani na mke wa mtu hayatutaona"alisema mama. tukiwa tuna karibia kuingia ndani.

"baba yako alikuwa anakuita."

"baba.?"nilishangaa kuambiwa na itwa na baba mzee wa vitendo ambae sio muongeaji.

"ndio baba yako"alirudia tena mama, tukaingia ndani kufika uso kwa uso na baba aliekaa kwenye makochi anatizama runinga.

"shikamoo mzee"nilimsalimia baba.

"marahaba kijana wangu, za shule vipi masomo"

"salama mzee wangu"

"ok, ulikuwa wapi mbona mama yako amekuita sana"aliniuliza baba hapo akili ikanicheza nikifikiria ujanja wa kumdanganya huku mama akinitazama.

"nilikuwa kule nyuma nimekaa sasa sijamsikia alafu nilikuwa nimevaa earphone"nilidanganya.

"wewe una simu.?"aliniuliza baba.

"aa hapana"nilipata kigugumizi cha ghafla.huku baba kanikazia macho kumaanisha yupo serious hana utani.

" niyarafiki yangu alinipa nisikilize kwenye simu yake."nilijibu kwa kutetemeka huku mama akiniangalia tu.

"wewe we endeleaa tu nitakufundisha siku moja"alinipa onyo baba nikalipuuzia nikajua anatania japo nilimuogopa sana baba kuliko mama, Hiyo ni kutokana na mama kunipenda sana hadi kunidekeza nikiumwa ananilisha kama mtoto nilipenda kudekezwa na mama hata kunichapa hajawahi, ila mzee mzima alinipa kiswago siku moja niliposusa kula na chakula nikakimwaga chini, eti kisa alinimalizia mboga wee nilikoma hadi leo nikimuona baba kidogo akili hunicheza.

"shika hela hii kaniletee vocha haraka sawa."alisema baba.

"sawa baba."Nikaipokea ile hela na na kutoka nje, nikafanya ujinga eti baada niende dukani eti nikaelekea dirishani kwa mama imma toto la tanga,eti nimenogewa na utamu alionionesha kidogo nikiwa na lengo la kwenda kumshitua kuwa nitarudi usiku kumbe mzee mzima nae alikuwa anatoka njee,sasa dirisha la mama imma na mlango wetu vipo sambamba kitendo cha mimi kufika pale dirishani kuchungulia na kuita kumbe baba kaniona..

"Gaooo njooo hapa njoooo."aliita baba kwa sauti ya kukalipia hapo nusu haja ndogo initoke nilimfata kwa kutetemeka.

"nimekuagiza wapi na pale unafanya nini.?"aliniuliza baba huku amefura kwa hasira.

"a a a a hamna baba."nilibabaika, kitendo kilichomuuzi baba.

"leo utanitambua yani nakutuma unaenda kuchungulia dirishani kwa mke wa mtu, ingia ndani huko"aliniamuru niingie ndani, nikaingia haraka kwa kusita sita nae akaingia. kitendo kilichonishangaza ni pale alipo funga mlango na fungua kabisa kisha akaitupa mezani.

"utanitambua kama mimi ni juma kweli leo wewe si mhuni kiasi kwamba unapiga chabo kwa wake za watu leo nakufundisha adabu."alizidi kunitisha baba kwa maneno yake.
Nikiwa natetemeka kwa woga wa kupigwa na baba akaanza kuvua mkanda wake akauzungusha mkononi na kunifata..................

  • Thanks
 Reactions:BCN

"wewe si kidume ngoja nikuoneshe uanaume sasa"alisema baba, akazidi kunitisha,hata mama sikumuona eneo hilo najua angenitetea ila hayupo.
Baba baada ya kufunga mlango na kujiridhisha tayari aliukaza vyema mkanda mkononi kisha akanifata sasa huku amefura kwa hasira.
"nisamehe baba utaniumiza nisamehe."nilitamka kwa kunyenyekea lakini ikawa bure kabisa haikuwa sababu ya yeye kuacha kunipiga.

"wewe si ushakuwa leo nakufundisha adabu."alisema kabla hajamaliza tayari alinirarua mkanda ulionipata mgongoni.

"nisamehe baba sitarudia tena."nilizidi kumuomba msamaha huku nikijikaza na maumivu ya mkanda alionitandika wa mgongo. hakunisikia nilichoongea tena ndio mikanda ilinishukia dabo dabo hata kuizuia nilishindwa.

"baba sasa nakuomba msamaha hunisikii wanipiga tu kwani mimi gogo sisikii maumivu."nilitamka bila haya wala soni za uso na kuto kujali kama ni baba nilifananisha na vijana wenzangu ila yote ni kutokana na jinsi alivyokuwa akinirarua bila huruma.

"unasemaje gao unanikazia sio haya tupigane wewe si kidume."alisema baba, na kuweka mkanda chini hapo.
Na mimi akili zangu za kijinga na jazba niliokuwa nayo eti nikakunja ngumi kitendo kilichopelekea baba anitandike mtama ulionipeleka moja kwa moja chini na kuangukia ule ule mgongo.

"aiiii mama."nilipiga kelele,baada ua kuanguka chini kama mzigo tena kwenye marumaru pale sebuleni.
"amka amka kidume."alisema baba hapo hata nguvu sina za kuamka, alijipa nafasi ya ushindi na kuchukuamkanda wake aliouzungusha kama mwanzo kisha akaanzaa kunitandika mara mbili mbili bila huruma maumivu niliyoyapata hayaelezeki hata kuyasimulia yananitoa machozi ama kweli ukubwa dawa mkubwa ni mkubwa tu.
baba alitandika mikanda bila huruma, aliponiachia nikajikokota hadi mlangoni kwangu.

"nakuchukia baba, nakuchukia sanaa utaona wewe."nilimtishia baba na kusahau mtu mzima hatishiwi nyau.

"unasemajee.?"aliuliza kisha akageuka kunifata hapo nikaingia ndani kwa fujo na kufunga mlango na funguo kabisa.

"wewe gao fungua kichaa wewe nakwambiaje nitakunyoosha wewe nitaomba likizo mwezi mzima kwa ajiri yako tu wewe."alisema baba akiwa mlangoni kwangu.

"achana na mimi si uende kumnyoosha mchepuko wako asikuchune sana sana,mpaka uninyooshe mimi.,"nilipata ujasiri wa kuongea maneno ambayo sijayafikiria yote ni kutokana na kuwa ndani yeye nje.

"unasema wewe.?"aliuliza,hapo nikakaa kimya sikujibu kitu nilizidi kuugulia maumivu ya kupigwa mikanda kadhaa.

Aliniumiza nyakutosha hata mwili nao kila mahali umevimba ni alama za mikanda kila nikijitazama machozi yananitoka hali iliyopelekea nijifunike shuka hakika nilijiwekea kisasi kwa baba tayari nilimchukia kiasi kwamba hata kumsikia naona izrael kanijia. nikiwa nimetulia kichwa kimejaa msongo wa mawazo sambamba na hasira.

"gao mwanangu gao baba kakufanya nini"ni sauti ya mama ilioita mlangoni kwangu, akimaanisha hajui kilichotokea kabisa, nikahifunua shuka kisha nikafungua sauti ya sabufa mpaka mwisho hata wasemavyo nje sisikii na usiku ule niliwawekea watu mziki wa bure kutokana sabufa lililopo chumbani kwangu kuwa na sauti kali nilioifananisha na sauti za spika kubwa,sikuona tabu kujisurubu ngoma za masikio nilichojua ni kupunguza mawazo.
Akili zangu zikanituma nichungulie dirishani hapo bila kutegemea naona kikundi cha watu wavulana kwa wasichana wakicheza mziki niliofungulia ndani.
Nilijichekea mwenyewe japo ninahasira kisha nikaanza kufungasha nguo zangu kwenye begi aliloninunuliaga mama kipindi nilichokuwa naenda dodoma kwa mjomba ambapo alininunulia la kuhifadhia nguo.
niliweka nguo zangu baada ya kuziweka zote hata chafu pia nilishindilia nikiwa na wazo la kutoroka nyumbani nikajitafutie maisha yangu mwenyewe japo ni usiku nilifikiria nikalale hata chini ya sakafu yote ni kutengana huyu baba nisiempenda.
Tayari nilijiandaa na kuzima mziki,kitendo kilicho wakera jamaa wa njee.

"aaaah dj vp weka mambo hayo tukeshe sio"niligundua ni wavuta bange na wanywa gongo hivyo sikuwajali.

Nikasogea hadi mlangoni nikafinya kitasa kikafunguka hapo nikatoka na begi langu haraka haraka nikiwahi mlango wa kutokea nje nilifinya kitasa cha nje ila kabla sijatoka.

"haya wewe mtoto unaenda wapi usiku huu."ni sauti ya mama iliyonistua sana.

"mbona unataka kuniua na presha mwanangu unataka kwenda wapi sasa.?"alizidi kunitandika maswali mama ambayo sikuyajibu nilikuwa nikiugulia maumivu ya mikanda.

"mama nakuamba niache niondoke zangu mimi siwezi ishi na baba hapa nitamtilia sumu au nitamchoma kisu akiwa amelala bure bora niende tafadhali."nilisema bila woga kwa kujiamini na ujasiri huku nimetuna hasira zimenijaa hata macho yalikuwa yakidondokwa na machozi.

"unasemaje mwanangu yani wewe unaweza kuua kakufunza nani tabia hizo za kishetani mlaani ibirisi mwanangu maneno gani hayo umuue baba yako."alisema mama kwa busara ambazo hazikuwa kitu kwangu,niliona ni ngonjera tulizokuwa tukiimba mashuleni kipindi cha mahafari.
Nikiwa nimesimama na mama pale mlangoni kashika begi nisiondoke, baba akatokea tena anatoka kuoga.

"anataka kwenda wapi huyo jambazi"aliniita jambazi jina lililoniuma hadi kutaka kumfata ila mama akanizuia.

"wewe unamwitaje mwanangu jambazi embu nenda ndani huko.

"mama niachie niondoke sitaweza kukaa humu mimi nitamwaga damu ya mtu."nilizidi kutishia tu.

"nyoooookooo labda ukamwage damu ya vikuku vya mama yako ila sio mimi."alisema baba hapo nikamponyoka mama na kukimbilia kabatini nilitoka na umma baada ya kutafuta kisu na kukosa nilitaka kumchoma nao akanizuia kwa kunishika.

"niachie niachie."nililalamika.

"we mtoto huna akili unaweza shindana na mimi."alikasilisha zaidi na maneno yake, nikagundua 'NAZI HAISHINDANI NA JIWE'nilijipa ununda tu ila baba simuwezi.

"jamani mwanangu unanini wewe kutaka kupigana na baba yako,embu mwachie mwanangu,"alisema mama huku akisikitika kisha akanipeleka chumbani kwangu.

"twende ukalale kesho nakupeleka kwa shangazi yako sawa"aliniambia mama ila nikaona tabu hata kumjibu akanifikisha ndani kisha akatoka na kufunga mlango kwa nje nilibaki na hasira mfanowe hakuna nilimlaumu mungu kuchelewa kuniumba hadi kuwa mdogo kuonelewa, maswali yangu hayakuwa na wakuyajibu nilichoona nikujitupa kitandani na hasira zangu, kimya kilitawala hadi naja kusikia mlango ukikongwa nikagundua kumekucha nilinyanyuka kwa tabu kwenda mlangoni nikakutana na mama.

"jiandae nikupeleke sawa."alisema mama hata sikumsalimia, hasira hazikuisha.
Nililiendea bafu na kujiandaa haraka siku hiyo ya ijumaa, nilipokuwa tayari mama akawasiliana na shangazi kisha tukatoka.

Nje hakukuwa na mtu hata mama imma sikumuona nimuage,nilipita kimya kimya na mama ila nilikuwa na lengo la kumtembelea mama imma siku nikipata nafasi.
Mama alinipakiza kwenye bajaji na begi langu kutokana na kwa shangazi sio mbali na shule ninako somea kwa dada ndio mbali hivyo alimlipa kabisa dereva na safari kuanza umbali mfupi tu nilifika hadi mlango kwa shangazi, nikashuka na kupokewa begi likaingizwa ndani,nilianza kuithaminisha nyumba kwa uzuri wake kila kitu kipo nilipapenda sana mandhali yake nikaingia ndani.

"karibu mwanangu gao jisikie upo nyumbani hapa ni kwenu."

"sawa shangazi nashukuru sana"nilijibu hapo nikajua sio mswahili hafagilii shikamoo.

Alizidi kunikaribisha pale kama vile ni mama yangu mzazi,nilichokumbuka mule alikuwa akiishi na wasichana watupu wakuwepo wanae wawili waliokwenda shule wanarudi pamoja na mfanyakazi wa ndani na mtoto wa mume wake. nilikumbuka mama aliniambiaga siku moja kumbu kumbu hiyo haikufutika kichwani mwangu. tukiwa tumekaa kwenye makochi nadhifu yaliyopendeza kwa mtindo wake yalivyotengenezwa na upambwaji pale sitting room kulipo wekwa runinga kuu kuu ya ukutani set za sabufa, meza ya kioo, maua mbali mbali na masofa ya kila aina.

"Ester ester."aliita shangazi.

"abeeh dada."

"njoo."alimwambia aje hapo ester akaja,Ukisema ester ester kweli kuanzia umbo lake mpaka jina lake ni dhahiri vilifanana nilimmezea mate alipokuja ila nikajipa ustaarabu 'NJIWA WA KWAKO MANATI YA NINI"ndio maneno yaionikaa akilini wakati huo.

"umemuona huyu ni kaka yako anaitwa gao,heshima iwepo."

"sawa dada."aliitika kwa kuinama chini.

"muamkie sasa."akiendelea kusona shangazi, ila nikamwambia ache niligundua anatania alafu ester ananidhamu ya woga alikuwa anataka kuniamkia.

"haya katuletee juisi ya embe ya baridi"akiagiza shangazi hapo ester akiwa anaondoka nikawa natazama alivyoumbika na ufupi wake pamoja na unene ndio kabisa hata nyuma alifungasha,Nilimtazama hadi akakata kona.

"nambie mwanangu habari za huko"

"salama shangazi za hapa je mnaendeleaje"tuliendelea kuongea ester akaleta juisi tulipiga story huku tukimeza mafunda ya juisi.

"hivi shangazi yule anaeishi na mama ni baba yangu."nilimtandika swali ambalo hakutegemea kama nitamuuliza alipata mshangao shangazi.

"haah kwanini umeuliza.?"

"nataka kujua tu."

"gao hiyo ni siri ya muda mrefu sana tumekufichia wewe embu achana nayo nitakuambia."alikatisha maneno haraka na kumuita ester aliekuja.

"nenda kamuoneshe chumba mwenzio."

"sawa dada."aliitika hapo sikuwa na pingamizi, nikaamka kishingo upande tu na kumfata ester kunipeleka huko.
Nilikuwa nyuma ester mbele niliehisi akinifanyia makusudu kwa utembeaji wake hadi tunafika chumbani dushelele linaleta shida.......
ITAENDELEAAAA..

Comments