Ipi Adhabu Sahihi ya Mtu Anayetembea na Mke wa Mtu?

Kuna jamaa mmoja ni mwalimu wa Secondary huko masasi anajifanya mende wa kutembea na mke wangu nimemuonya zaidi ya mara mbili, naona anakaidi huwa anavizia mimi nikitoka huwa anawasiliana mke wangu kwahiyo anatoka masasi anakuja Tanga nilitaka kuweka picha yake hapa ila mtandao unasumbua.

Sasa nafikiria ni adhabu gani nimpatie maana ananisababishia mgogoro wa kifamilia, hivi sasa natumia muda mwingi kumfuatilia yeye nyendo zake badala ya shughuli zangu, nilitaka kumuacha wife lakini mtoto wangu bado mdogo naogopa kumtesa mwanangu pia kuna mtu amenishauri nimtege wife, ila inaniuma sana nahisi nikimkamata sijui nimfanyaje, najitahidi ili niweke picha yake hapa ili ajione na watu wengine wamuone na mkewe pia amuone.

Ushauri wenu tafadhali
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA [UTAMU WAKUBWA TU ]

Comments